KIGOMA YAMLILIA MRATIBU DIANA RUBANGUKA

Kigomapressclub- January 27, 2025 0

Maelfu ya wakazi mkoani Kigoma na wengine kutoka nje ya mkoa wa huo wamejitokea hii leo January 27,2025 kumzika Mratibu wa Kigoma Press Club (KGPC) ... Soma zaidi

TUMIENI VITAMBULISHO HIVYO KAMA FURSA YA KUKUA KIUCHUMI.

Kigomapressclub- January 22, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kigoma. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma, Vumilia Julius Simbeye amewataka wajasiriamali wadogo kutumia vitambulisho walivyopewa kutafutia fursa za kuwawezesha ... Soma zaidi

LISSU MWENYEKITI MPYA CHADEMA, AMNG,OA MBOWE

Kigomapressclub- January 22, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Dar Es Salaam Matokeo ya jumla ya uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), yametangazwa huku Tundu Lissu akiibuka kidedea. Katika ... Soma zaidi

TAJENI KERO ZENU ZA KIKODI ILI MPATIWE UFUMBUZI -RC KIGOMA

Kigomapressclub- January 22, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kigoma. Wafanyabiashara mkoani Kigoma wametakiwa kutumia fursa ya kikao kilichowakutanisha na Tume ya Rais ya Maboresho ya kodi, kutoa changamoto zao za ... Soma zaidi

UONGOZI MKOANI KIGOMA WATAKIWA KUENDELEA KUSIMAMIA UJENZI WA MIRADI YA MAENDELEO

Kigomapressclub- January 22, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kigoma Waziri wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa ameusisitiza Uongozi wa Mkoa wa Kigoma kuendelea kusimamia kwa karibu shughuli za ujenzi wa Miradi ... Soma zaidi

WAUGUZI, WAKUNGA IMARISHENI MAWASILIANO KATI YENU NA WAGONJWA

Kigomapressclub- January 20, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Pwani Wauguzi na wakunga wametakiwa kuimarisha mawasiliano bora na wagonjwa ili kuboresha utoaji wa huduma za afya, kuanzia huduma za afya ngazi ... Soma zaidi

CCM YAMPITISHA RAIS SAMIA KWA 100% KUGOMBEA URAIS 2025.

Kigomapressclub- January 20, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalumu wa CCM Taifa wamempitisha Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni Rais ... Soma zaidi