MABALOZI 600 WA CCM WATEMBELEA MIRADI INAYOTEKELEZWA NA SERIKALI KIGOMA

Kigomapressclub- March 29, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kigoma Karibu mabalozi mia sita wa Chama cha Mapinduzi CCM katika manispaa ya kigoma mjini wametembelea miradi mikubwa inayotekelezwa na serikali ya ... Soma zaidi

CCM KASULU YAMPONGEZA DKT. SAMIA UTEKELEZAJI ILANI YA UCHAGUZI 2020-2025

Kigomapressclub- March 25, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kigoma Uongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kasulu umeazimia na kutoa tamko la kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa ... Soma zaidi

TUENDELEZE USHIRIKIANO WA KIIMANI ULIOPO: DC KIGOMA

Kigomapressclub- March 24, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kigoma  Mkuu wa Wilaya ya Kigoma amewataka Wananchi na Wakazi wa Wilaya hiyo kuendeleza umoja na mshikamano wa Kiimani uliopo Nchini Tanzania. ... Soma zaidi

MAJALIWA: HAKIKISHENI BIDHAA ZINAZOZALISHWA NCHINI ZINAKIDHI VIWANGO

Kigomapressclub- March 20, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Dar Es Salaam WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameziagiza taasisi za kudhibiti viwango nchini zihakikishe uzalishaji wa bidhaa zote zinazozalishwa zikiwemo za afya ... Soma zaidi

WIZARA YA UJENZI YAWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2024/25

Kigomapressclub- March 20, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Dodoma  Wizara ya Ujenzi imewasilisha taarifa ya utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa mwaka wa fedha 2024/2025 na makadirio ya Mpango na ... Soma zaidi

DCC KIGOMA DC YAPIITISHA MCHAKATO MGAWANYO WA KATA

Kigomapressclub- March 14, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kigoma  Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC) kimepitisha kwa kauli moja mchakato wa kugawanya kata za Simbo, Kalinzi na Mkongoro ... Soma zaidi

MRADI WA UMEME NYAKANAZI KIDAHWE MKOANI KIGOMA WAFIKIA 99%

Kigomapressclub- March 1, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kigoma Mradi wa Umeme kutoka  Nyakanazi Mkoani Kagera hadi Kidahwe Kigoma Msongo wa Kv. 220 umefikia Asilimia 99 ambapo tayari mkoa wa ... Soma zaidi

CCM YAPONGEZA UBORA WA MIRADI KIGOMA DC

Kigomapressclub- March 1, 2025 0

 Na Mwandishi Wetu, Kigoma Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kigoma imepongeza ubora na kasi ya utekelezaji wa ... Soma zaidi

WANAHABARI ANDIKENI ZAIDI KUHUSU MALEZI NA MAKUZI: WAZIRI GWAJIMA

Kigomapressclub- March 1, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amewataka waandishi wa habari kuongeza kasi ya ... Soma zaidi