UVINZA WAZINDUA UGAWAJI WA MITUNGI YA GESI.

Kigomapressclub- April 17, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Uvinza - Kigoma Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mh. Dinah Mathamani amezindua Ugawaji wa mitungi ya gesi kwa gharama ya elfu ishirini ... Soma zaidi

MFUMO WA SQAS KUBORESHA UTENDAJI KAZI MASHULENI

Kigomapressclub- April 17, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kasulu Kigoma Mfumo wa Kidigitali wa Uthibiti Ubora (SQAS) utaboresha utendaji kazi mashuleni kutokana matumizi yake kurahisisha upatikanaji wa taarifa sahihi kwa ... Soma zaidi

WAKUU WA MIKOA NA WAKURUGENZI NCHINI WAPEWA MAAGIZO MAHUSUSI

Kigomapressclub- April 16, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-Tamisemi Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amewaelekeza Wakuu wote wa mikoa kuwasimiamia Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali ... Soma zaidi

MRADI MPYA WA MAJI WILAYANI UVINZA KUMALIZA ADHA YA UPATIKANAJI WA MAJI KWA WANANCHI

Kigomapressclub- April 14, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kigoma Wananchi waishio katika Kijiji cha Mtegowanoti na Mwangaza wameondokana na adha ya kutembea mwendo wa mita 400 kufuata maji kwa matumizi ... Soma zaidi

WATUMISHI VITUO VYA AFYA NGAZI YA MSINGI KUPEWA KIPAUMBELE ‘SAMIA SCHOLARSHIP’

Kigomapressclub- April 10, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama amemuelekeza Katibu Mkuu Wizara ya Afya kutoa kipaumbele kwa watumishi kutoka vituo vya Afya ngazi ... Soma zaidi

MCHENGERWA: WAKURUGENZI, MSIWAONDOE WAGANGA WAFAWIDHI KWA MATAKWA YENU

Kigomapressclub- April 10, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohamed Mchengerwa, amewaelekeza Wakurugenzi wa ... Soma zaidi

WAZIRI MKUCHIKA ATOA WITO JAMII KUMLINDA MTOTO WA KIKE

Kigomapressclub- April 6, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kigoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Ikulu (Kazi Maalum), Mhe.George Mkuchika (Mb)  ameitaka Jamii kuwalinda  watoto wa kike ili waweze kufikia ... Soma zaidi

VIONGOZI WA MIKOA NA WILAYA WAAGIZWA KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI MBIO ZA MWENGE

Kigomapressclub- April 6, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Pwani Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa, amewataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya kote nchini kuhamasisha ushiriki wa ... Soma zaidi

UJENZI WA KITUO CHA AFYA MAKERE KUPUNGUZA ADHA KWA WANANCHI KUFUATA HUDUMA MBALI

Kigomapressclub- April 6, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kigoma Ujenzi wa Kituo cha Afya Makere kilichopo Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma utakaogharimu kiasi cha Sh.Bil. 2.62 ni utekelezaji ... Soma zaidi

TAMISEMI YATOA SIKU 30 WAHITIMU KIDATO CHA NNE 2024, KUBADIRI TAHASUSI ZAO

Kigomapressclub- April 4, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Dodoma SERIKALI kupitia Ofisi ya Rais-TAMISEMI, imetoa siku 30 kwa wahitimu wa elimu ya sekondari kidato cha nne 2024, kubadili chaguzi zao, ... Soma zaidi