Category: AFYA

HUDUMA ZA KIBINGWA ZA MIFUPA, UBONGO SASA KUPATIKANA NYANDA ZA JUU KUSINI

Kigomapressclub- February 15, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Iringa Serikali kupitia Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imedharia kuzisogeza huduma za kibingwa za mifupa, ubongo na mishipa ... Soma zaidi

WAJAWAZITO KATA YA BUHANDA KIGOMA UJIJI WASOGEZEWA HUDUMA YA UPASUAJI

Kigomapressclub- February 15, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kigoma Wananchi wa kata ya Buhanda Manispaa ya Kigoma Ujiji wameondokana na adha ya kufuata huduma za upasuaji katika hospital ya rufaa ... Soma zaidi

TAASISI INAYOFUNZA PANYA KUPIMA VIMELEA VYA TB YAJIPANGA KUISHAWISHI WHO KUIDHINISHA NJIA HIYO KUWA RASMI TANZANIA

Kigomapressclub- September 24, 2024 0

Moja ya panya wanatumika kupima TB Happiness Tesha, Kigoma Taasisi ya APOPO inayoendesha mradi wa Panya wanaotumika kugundua virusi vya ugonjwa Kifua Kikuu(TB), nchini Tanzania ... Soma zaidi

UTUMIAJI WA KILEVI, SIGARA NA KUTOTUMIA DAWA ZA FROLIC ACIDI KWA MJAZIMTO, CHANZO CHA WATOTO KUZALIWA NA MDOMO WAZI

Kigomapressclub- September 13, 2024 0

Na Mwajabu Hoza, Kigoma. UTUMIAJI wa kilevi,uvutaji wa sigara na kutotumiwa kwa Dawa za Frolic Acidi  kwa mjazimto kunatajwa kuwa sababu ya baadhi ya watoto ... Soma zaidi

WILAYA YA UVINZA, YATOA TAKRIBANI SHILINGI MILIONI 25 KWA AJILI YA KUKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA AFYA

Kigomapressclub- September 11, 2024 0

Mwajabu Hoza, Kigoma. Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza, mkoani Kigoma, imetoa fedha takribani milioni 25 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa kituo cha afya cha ... Soma zaidi

MCHANGO WA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUPUNGUZA TATIZO LA UDUMAVU WILAYANI KIBONDO

Kigomapressclub- September 3, 2024 0

Na Mwajabu Hoza, Kigoma Vyombo vya habari vimekuwa na mchango mkubwa katika kupunguza tatizo la udumavu kwa watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano ... Soma zaidi