Category: KITAIFA

RC SIRRO AZINDUA ZOEZI LA CHANJO NA UTAMBUZI MIFUGO KIGOMA

Kigomapressclub- July 3, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Ispekta Jenerali Mstaafu wa Jeshi la Polisi Mhe. Balozi Simon Sirro amewataka wafugaji Mkoani Kigoma kushiriki ... Soma zaidi

MKUU WA MKOA KIGOMA BALOZI SIRRO AKABIDHIWA OFISI

Kigomapressclub- July 3, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Dodoma Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye amekabidhi Ofisi kwa Mkuu wa Mkoa Mpya wa Kigoma Balozi Simoni Sirro ... Soma zaidi

WAZIRI MKUU: TUTAENDELEA KUWALINDA NA KUWAPATIA FURSA STAHIKI WATU WENYE ULEMAVU.

Kigomapressclub- June 14, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kigoma WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inawathamini Watu ... Soma zaidi

MRADI WA KUJENGA USTAHIMILIVU WA MABADIRIKO YA TABIA NCHI WAZINDULIWA KIGOMA

Kigomapressclub- May 16, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye amezindua mradi wa kujenga  Ustahimilivu wa Mabadiliko ya Hali ya Tabia Nchi mkoani ... Soma zaidi

MAIN FM YASAIDIA KUIBUA VIPAJI VYA MICHEZO KIGOMA – DC KIGOMA

Kigomapressclub- May 11, 2025 0

Mkuu wa Wilaya Kigoma Dkt Rashid Chuachua (wakatikati) azindua jezi kwaajili ya Main FM cup msimu wa pili 2025. Na Editha Karlo,Kigoma MKUU wa Wilaya ... Soma zaidi

UJENZI WA UZIO KWENYE SHULE NCHINI, SERIKALI YAJA NA MKAKATI MAALUM

Kigomapressclub- May 10, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Dodoma. Serikali imesema tayari imeweka bajeti na michoro (Master Plan) kwa ajili ya ujenzi wa uzio katika shule zote za Hsekondari za ... Soma zaidi

TIMU ZA USIMAMIZI WA AFYA NGAZI YA MIKOA ZAELEKEZWA KUSIMAMIA MIRADI YA AFYA

Kigomapressclub- May 10, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Dar Es Salaam. Mkurugenzi wa Idara ya Afya Lishe na Ustawi wa Jamii, Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Rashid Mfaume amezielekeza timu ... Soma zaidi

RC KIGOMA AKABIDHI MAGARI KITENGO CHA LISHE MKOA NA HALMASHAURI

Kigomapressclub- May 10, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kigoma Jamii imetakiwa kuzingatia utoaji wa lishe bora kwa watoto ili kujenga msingi mzuri wa makuzi jambo litakalosababisha uwepo cha kizazi chenye ... Soma zaidi

UVINZA WAZINDUA UGAWAJI WA MITUNGI YA GESI.

Kigomapressclub- April 17, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Uvinza - Kigoma Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mh. Dinah Mathamani amezindua Ugawaji wa mitungi ya gesi kwa gharama ya elfu ishirini ... Soma zaidi

MFUMO WA SQAS KUBORESHA UTENDAJI KAZI MASHULENI

Kigomapressclub- April 17, 2025 0

Na Mwandishi Wetu, Kasulu Kigoma Mfumo wa Kidigitali wa Uthibiti Ubora (SQAS) utaboresha utendaji kazi mashuleni kutokana matumizi yake kurahisisha upatikanaji wa taarifa sahihi kwa ... Soma zaidi